Showing posts with label NEWS. Show all posts
Showing posts with label NEWS. Show all posts

Friday, August 30, 2013

MIFANO YA BIASHARA UNAZOWEZA KUANZISHA ( kwa wafanyabiashara wadogo)

Kila mtu ana uwezo wa kuanzisha biashara ya kwake tofauti na mtu mwingine. Ifuatayo ni mifano michache ya biashara ambayo mtu anaweza kuanzisha na kujiongezea kipato.

A. WAFANYABIASHARA WA REJAREJA

1.    Vibanda vya bidhaa
2.    Wachuuzi wa matunda na mboga
3.    Wauza mitumba
4.    Maduka ya samani
5.    Vituo vya mafuta
6.    Maduka ya vyakula
7.    Duka la matunda na mboga
8.     Duka la nguo na viatu
9.    vifaa vya nyumbani na shamba  
10. Duka la vifaa vya umeme
11. Maduka ya mashine za shamba
12. Duka la vifaa vya kuandikia
13. Duka la madawa
14. Duka la kuoka mikate
15. Duka la bidhaa mchanganyiko
16. Duka la sare za shule
17. Duka la nyama


B. WAZALISHAJI NA WAKULIMA WADOGOWADOGO



1.   Mpakiaji bia katika chupa
2.   Mpakiaji soda katika chupa
3.   Watengenezaji wa samani na mbao
4.   Wayeyushaji wa chuma
5.   Mafundi cherehani
6.   Kazi za mikono( vikapu, mitingu, vyungu)
7.   Wafumaji
8.   Wasuka mikeka
9.   Watengeneza matofali